Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mmejipangaje kuzuia dawa za kulevya-Kitwanga

Alhamisi , 17th Dec , 2015

Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi, Mh. Charlses Kitwanga amewaagiza maofisa waandamizi wa jeshi la polisi kumpelekea maelezo hii leo kuwa wamejipangaje na watafanya nini katika kupambana na kuwamata wahusika wa dawa za kulevya.

Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi,Mh. Charlses Kitwanga.

Mh. Kitwanga ametoa agizo hilo jana wakati alipofanya ziara ya kutembelea maeneo mbalimbali ya jeshi la polisi kikiwemo chuo cha taaluma ya polisi, nyumba za polisi kurasini na kituo kikuu cha polisi jijini Dar es salaam.

Amesema tatizo la dawa za kulevya limekuwa kubwa hivyo ni lazima jeshi hilo kuhakikisha linakuwa na mpango wa kuhakikisha wahusika wote wanakamatwa na hatua zinachukuliwa bila kuangalia muhusika ana nguvu gani katika jamii au siasa.

Waziri huyo ameongeza kuwa endapo jeshi hilo litashindwa kuwakamata watu hao inaonesha kuwa wanashirikiana na wahusika hivyo ni lazima wakuhusika wakamatwe ili kuondoa dhana ya wao kushirikiana na watu hao.

Katika hatua nyingine amewataka kujipanga na kuondoa dhana iliyojengeka kwa watu kuwa askari wamekuwa wakiwabambikia watu kesi ambazo hawahusiki nazo na kuwataka kuhakikisha wanafanya kazi zao kwa nidhamu na weledi.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava