Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mmoja auliwa na Polisi

Alhamisi , 21st Sep , 2017

Jeshi la polisi Mkoa wa Songwe limewakabili watu wanne wanaosadikika kuwa majambazi wenye niaya kutekeleza tukio la uhalifu nyumbani kwa mfanyabiashara mkazi wa mji wa Viwawa wilayani Mbozi, ambapo katika majibizano ya risasi mtu mmoja amefariki.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe  (RPC) Mathius Nyange amesema baada ya kumpekua jambazi huyo wamemkuta na silaha tatu ikiwemo bunduki na risasi 3, upanga na kifaa cha kisasa kinachotumika kumzimisha mtu fahamu wakati wa kufanya tukio, hata hivyo jambazi huyo amefariki dunia kutokana na majeraha ya risasi. 

Kufuatia tukio hilo wakazi wa mkoa wa Songwe wameshauri jeshi la polisi kuhakikisha usalama wa raia wanaothubutu kutoa taarifa kwa jeshi la polisi zinazohusu wahalifu na kusisitiza elimu ya polisi jamii na ulinzi shirikishi uimarishwe ili wananchi washiriki ipasavyo kutokomeza matukio ya uhalifu.

Aidha kamanda Nyange amesema mkoa wa Songwe sio mahali salama kwa watu wanofanya uhalifu na kuongeza kuwa wakija hawatarudi salama.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava