Mahakama ya Wilaya ya Ifakara, mkoani Morogoro.
na viuatiliafu visivyosajiliwa.
Hukumu hiyo imetolewa na Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo, Binge Njaga Mashabara, baada ya kujiridhisha na hoja za mashahidi watatu wa upande mashtaka, bila kuacha shaka yeyote.
Hakimu Mashabara amesema, vitendo kama hivyo vinawasababishia hasara wakulima na Serikali kwa ujumla ukiachilia mbali kuendelea kusababisha madhara kwa mazingira na kwa Afya za binadamu, wanyama na mimea.
Katika utetezi wake Yerusalem Mwamaja alikubali mashtaka na aliomba apunguziwe, adhabu kwani ni mara yake ya kwanza kufanya kitendo hicho na hata rudia.