Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Morogoro: Mavuno yaleta ubakaji

Alhamisi , 11th Jul , 2019

Imeelezwa kuwa katika kipindi cha mavuno, matukio ya ubakaji kwa wanawake na wasichana hujitokeza zaidi mkoani Morogoro, huku chanzo kikielezwa kuwa ni uwepo wa ngoma za kienyeji zinazochochea ulevi uliokithiri hivyo wanaume wengi kuingiwa na tamaa za kimwili.

Wakati wa mavuno

Hayo yamebainishwa na na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, SACP Wilbroad Mutafungwa, kufuatia uwepo wa matukio mbalimbali ya ubakaji mkoani humo.

''Katika kipindi hiki cha mavuno, matukio ya ubakaji kwa kiasi kikubwa yanajitokeza sana hasa kwenye sherehe za ngoma na kumtoa binti, na ngoma za kienyeji zinazopelekea watu kulewa pombe na kujikuta kina mama na wasichana wakibakwa''.

Aidha amesema Jeshi la Polisi mkoani humo linaendelea na jitihada za kuwaelimisha wananchi kuachana na masuala ya namna hiyo.

''Nitoe wito, sherehe za namna hiyo kimsingi hatuzikatazi lakini zifuate utaratibu uliowekwa kwenye serikali za mitaa na vijiji, zipate vibali ili kuepuka watu kufanya ulevi uliopitiliza na hatimae kuingiwa na tamaa za kimwili''.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa