Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mpango wa Maendeleo kwa miaka mitano wazinduliwa

Jumatano , 8th Jun , 2016

Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amezindua mpango wa maendeleo wa miaka mitano na kusema kuwa serikali ya awamu ya tano imejipanga kufufua viwanda vilivyokufa pamoja na kulifufua shirika la ndege la Tanzania kwa kununua ndege mpya.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizindua Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2016/17-2020/21 kwenye Ukumbi wa Chuo cha Mipango mkoani Dodoma.

Mhe. Majaliwa ametoa kauli hiyo jana mjini Dodoma kwenye uzinduzi wa mpango wa maendeleo wa Taifa wa miaka mitano 2016/2017 hadi 2020/2021 uzinduzi uliofanyika kwenye chuo cha mipango na maendeleo vijijini.

Aidha, Mhe. Majaliwa amesema kuwa serikali itaanza ujenzi wa reli ya kati kuanzia jijini Dar es Salaam hadi Mkoani Mwanza pamoja na matawi yake kwa kiwango cha standard gauge ili kuharakisha maendeleo kwa wananchi.

Katika taarifa yake kuhusu uzinduzi wa mpango huo Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dk. Philip Mpango amesema lengo la kuanzisha mpango huo ni kutekeleza adhima ya dira ya taifa ya maendeleo kufikia uchumi wa kati.

Amesema serikali inatarajia kufufua miradi mikubwa ambayo ni kichocheo cha maendeleo ya Taifa ikiwemo kufufua viwanda mijini na vijijini ili kuwawezesha Watanzania kuwekeza katika miradi ya maendeleo.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine