Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mradi wa kuzalisha samaki Mil.1, wakutwa na watano

Jumamosi , 21st Nov , 2020

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Mwinyi, amewaagiza mawaziri wake kuhakikisha wanafuatilia kwa ukaribu miradi yote yenye udanganyifu, ukiwemo ule wa kutotoresha vifaranga vya samaki uliokutwa na samaki watano pekee.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Mwinyi.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Novemba 21, 2020, Ikulu ya Zanzibar, wakati akizungumza na mawaziri aliowaapisha ambapo amewapa maelekezo mbalimbali ya kuzingatia na kufuata ikiwemo kukomesha masuala ya rushwa, kuzingatia usafi maofisini mwao pamoja na kuzijua wizara wanazofanyia kazi.

"Kwa siku chache nilizokaa ofisini nimetembelea baadhi ya maeneo na nimesikitishwa na kiwango cha miradi, nimekwenda hospitali ya Mnazi Mmoja kuna mradi wa jengo la macho, mpaka leo haifanyi kazi sababu kuna beseni moja la madaktari kujiosha kabla ya kuingia chumba cha kufanyiwa operesheni halijawekwa na mkandarasi ameshalipwa pesa zote", amesema Dkt. Mwinyi.

"Makamu wa Pili wa Rais amekwenda kuangalia mradi wa kutotoresha vifaranga vya Samaki, tukiwa field tunazungumza na watu tunawaambia kwamba tutazalisha vifaranga Milioni 1, alichokiona jana pale samaki watano, majongoo watatu, kaa mmoja haiwezekani nahitaji ripoti ya kina juu ya mradi ule, fedha zilizotumika na kwanini uko namna ile mara moja", ameongeza Dkt. Mwinyi.

 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine