Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mrema alalamika wakala wake kutaka kunyweshwa bia

Jumatatu , 25th Nov , 2019

Mwenyekiti wa chama cha TLP, Augustino Mrema, amesema anaenda kulalamika kwa Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, kwa kile alichokidai mgombea wa chama chake kufanyiwa hujuma, ili mgombea wa Chama Cha Mapinduzi ashinde Uenyekiti wa Serikali za Mitaa katika Kijiji alichozaliwa yeye ch

Mwenyekiti wa chama cha TLP, Augustino Mrema.

yeye cha Kiraracha.

Mrema amedai katika zoezi hilo walijitokeza baadhi ya watu, yeye mwenyewe hakuwafahamu walimlazimisha wakala wake kunywa bia, wakati zoezi la kupiga kura likiwa linaendelea huku wakala wake akikataa kufanya hivyo.

Mrema amesema kuwa "wananchi wangu walimuona Mwenyekiti wao wa zamani aliyekaa miaka 10 anafaa kuendelea kuwaongoza, nilichoshangaa ni kuwa nguvu kubwa ilitumika, kwa sababu kulikuwa na idadi kubwa ya Polisi na wengine walilazimika kuleta bia ili wakala wangu anywe."

"Walipoleta bia, wakala wangu alikataa basi wakatumia hiyo nafasi kufanya mgombea wa chama kingine ashinde nafasi hiyo, kilichonishangaza Vijiji vyote havikukubaliwa wagombea wetu ni Kijiji kimoja tu."

Jana Novemba 24, 2019 Watanzania wa maeneo mbalimbali nchini, walishiriki zoezi la kupiga kura kwa kuwachagua viongozi wa Serikali za Mitaa, Vijiji pamoja na Vitongoji.
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa