Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Msanii atembea kwa miguu kutoka mkoani

Ijumaa , 23rd Aug , 2019

Rapa wa nchini Kenya King Kaka, ametembea kwa miguu kutoka mji mkuu wa nchi hiyo Nairobi hadi mjini Nakuru akihamasisha kampeni ya kuchangia taulo za kike.

Rapa wa nchini Kenya King Kaka

Kampeni hiyo itasaidia kuwanunulia wanafunzi wa kike taulo za kike ili kuendelea kubakia shuleni, kama ambavyo East Africa Television na East Africa Radio imekuwa ikifanya kwa mwaka wa tatu sasa.

Safari hiyo ya kutembea kwa miguu ametumia kilomita 154 na siku 6 hadi kufika mjini Nakuru.  

King Kaka amesema anashirikiana na Benki ya "On Me" ili kukamilisha zoezi hilo ambalo lengo lao wanahitaji kuwasaidia wanafunzi Laki moja kubaki shule, na ukichangia shilingi 13,389 utakuwa umesaidia mwanafunzi mmoja kubaki shule kwa mwaka mzima.

Zoezi hilo itaambatana na burudani ya muziki kutoka kwa staa huyo siku ya kesho tarehe 24 ya mwezi wa nane.

King Kaka anafuata nyayo za East Africa Television na East Africa Radio, ambao wameshaanza kampeni hiyo ya kuchangia taulo za kike na tayari wameshafanikisha kutoa taulo hizo za kike katika mikoa mbalimbali na kuwafikia wasichana zaidi ya 5000.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava