Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Msigwa awapa maneno mazito waombolezaji

Jumatano , 21st Feb , 2018

Mwenyekiti wa CHADEMA, Kanda ya Nyasa, Mch. Peter Msigwa amewataka waombolezaji waliofika kwenye msiba wa Kiongozi wa chama hicho Kata ya Hananasif Kinondoni, Danie John kutokata tamaa na kuwaambia hakuna mtu atakayeishi milele duniani.

Mchungaji Msigwa amesema hayo leo ambapo amewaomba waombolezaji kutokata tamaa na kuendelea kupigania haki ya kidemokrasia ambayo John ameipigania hadi mwisho wa maisha yake.

Aidha Msigwa amesema kwamba kifo cha John kimetokana na shughuli zake za kisiasa lakini hali hiyo isiwakatishe tamaa katika kupambania demokrasia.

Kwa upande wa Naibu Katibu Mkuu Zanzibar, Salum Mwalimu amepoteza maisha akipigania haki ya kidemokrasia. "Tunaamini John amefariki akitimiza majukumu yake ya kupiga kampeni kutafuta kura kwa ajili yangu na chama chake akipendacho,"

Aidha Mwalimu amesema kwamba endapo utamaduni wa miili ya watu kuokotwa ufukweni ukichwa utaandaa kizazi kitakacholipa kisasi. 

John alikuwa Katibu wa Chadema, Kata ya Hananasif, Kinondoni, Dar es salaam na mwili wake uliokotwa ufukweni mwa bahari ya hindi ambapo ulikuwa na majeraha ya kupihwa na kitu baada ya kutoweka Februari 11.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava