Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Msijisahau kuna UKIMWI" - RC Mtaka

Jumamosi , 30th Nov , 2019

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Anthony Mtaka amesema watanzania hasa kundi la vijana hawana budi kujisahau juu ya uwepo wa Ugonja la UKIMWI badala yake wawe makini ili wasikumbane na ugonjwa huo.

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Anthony Mtaka.

Anthony Mtaka ametoa kauli hiyo wakati akizungumza kwenye Kilele cha Siku ya Kijiji Cha Vijana iliyoandaliwa na Tume ya Kudhibiti UKIMWI TACAIDS, ambayo imefanyika mkoani Mwanza.

Mtaka amesema kuwa "Kuna ujumbe unatembea mtandaoni unasema Jinsi UKIMWI ulivyokaa kimya, unaweza kusema haupo, unatukumbusha tusijisahau sana"

Aidha Mtaka amesema kuwa "hili gonjwa la UKIMWI Rais Mstaafu Mkapa alishalitangaza kuwa gonjwa la Kitaifa ndiyo maana wanafunzi wetu kuna elimu wanapewa juu ya namna ya awali ya kujikinga na ugonjwa huu, na hata mimi mwenmyewe niliufahamu kwa mara ya kwanza nikiwa Shule ya Msingi"

Kwa upande wa Mkurugenzi wa TACAIDS Tanzania Dr Leornard Maboko amesema lengo maonesho hayo ni kuwafikia vijana na wamewafikia kwa asilimia kubwa sana.

"Walengwa wakubwa walikuwa ni vijana na vijana walifikiwa kwa ukubwa zaidi kupitia majukwaa mbalimbali ya burudani" amesema Maboko

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90