Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Msizuie mabango ya wananchi kwa Rais' - Waziri

Ijumaa , 8th Nov , 2019

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mwita Waitara, amepiga marufuku tabia ya baadhi ya viongozi wa Serikali, ikiwemo ngazi ya Wilaya na Mikoa, kuzuia wananchi kuonesha mabango yenye kero zao kwa kiongozi mkubwa nchi.

Naibu Waziri Waitara, ametoa kauli hiyo Bungeni wakati akijibu swali kutoka kwa Mbunge wa Musoma Mjini, Vedastus Mathayo, ambaye alihoji juu ya wananchi kuzuiliwa kuonesha mabango yao, wakati wa mkutano wa Rais.

Mbunge Vedastus Mathayo ameuliza kuwa "kwanini viongozi wa ngazi za Wilaya wanazuia mabango ya wananchi yasisomwe mbele ya Rais?".

Akijibu swali hilo Naibu Waziri TAMISEMI Mwita Waitara, amesema kuwa wanachofanya viongozi hao sio maagizo ya TAMISEMI na waache mara moja.

"Ni haki ya wananchi kueleza matatizo yao kwa Rais, kama kuna viongozi wanawazuia wananchi sio maelekezo ya TAMISEMI, kama wanafanya hivyo waache mara moja, pia naelekeza madawati ya kupokea kero yaboreshwe" amesema Waitara

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto