Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtoto amuua mama, mwingine amuua mkewe kisa pombe

Jumatano , 3rd Jun , 2020

Jeshi la Polisi mkoani Kagera linamsaka kijana mmoja aitwaye Justine Joseph kwa tuhuma za kumpiga na kumuua mama yake mzazi, Theopista Joseph (72) mkazi wa kijiji cha Omukangando wilayani Kyerwa.

Kamanda wa Polisi mkoani Kagera, Revocutus Malimi

Kijana Joseph amefanya mauaji hayo baada ya kumtuhumu mama yake kulewa kupita kiasi na kushindwa kumhudumia baba yake mzazi ambaye ni mgonjwa wa kiharusi.

Kamanda wa Polisi mkoani Kagera, Revocutus Malimi amesema kuwa mtuhumiwa alimkataza mama yake kunywa pombe ili apate muda wa kumhudumia baba yake lakini hakusikia na badala yake amekuwa akimwacha nyumbani na kwenda kulewa, kitendo kilichomkasirisha mtuhumiwa na kuamua kumshambulia na kumsababishia kifo.

Mbali na tukio hilo kamanda huyo amesema kuwa polisi wanamshikilia Hamis Ruge maarufu kwa jina la Mashiku (36)mvuvi na mkazi wa Igabilo wilaya ya Bukoba, kwa tuhuma za kumuua mke wake, Happiness Ibrahimu, baada ya kutokea ugomvi baada ya mume kumzuia mke wake kulewa pombe bila mafanikio.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava