Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtoto wa miaka 15 akamatwa eneo la Makahaba

Jumatano , 21st Aug , 2019

Mahakama Mwanzo mjini Morogoro imemuachia huru mtuhumiwa Even Mgaya (15) baada ya kukutwa hana hatia katika kesi ya uzembe na uzururaji inayowakabili watuhumiwa 29, na kuamuru kukamatwa kwa mwajiri wake ambaye ni mkufunzi wa Chuo cha Ualimu Kigurunyembe, aliyetambulika kwa jina la Mama Jak

Akihojiwa mbele ya Mahakama ya Mwanzo na Hakimu Emelia Mwambagi, mtoto huyo ameeleza kuwa sababu ya kukamatwa na polisi Agosti 16, 2019, ni kufuatia kutokuwa na mahali pa kwenda baada ya kufukuzwa na mwajiri wake.

Aidha mtoto huyo amefafanua kuwa amekuwa akiishi kwa mama huyo bila kupata nafasi ya kuwasiliana na familia yake, huku akidai kwa kipindi chote alichokuwa akifanya kazi hajawahi kupata malipo yeyote licha ya kuwa aliahidiwa kulipwa kiasi cha shilingi 40000 kwa mwezi.

Maelezo ya mtoto huyo yakapelekea Mahakama ikatangaza kumuachia huru wakati kesi ikiendelea ikiwa imejiridhisha kuhusiana na tuhuma zinazomkabili.

Baada ya kuachiwa huru kwa mtoto huyo hakimu Mwambagi akatoa hati ya kukamatwa kwa mama huyo siku ya leo Agosti 20 kwa tuhuma za kumfukuza mtoto Even mgaya na kuajiri mtoto mwenye umri wa chini ya miaka 18.

Hata hivyo Mahakama hiyo imeahirisha kesi ya msingi ya uzembe na uzururaji inayowakabili watuhumiwa 28, hadi Agosti 21 2019 kufuatia mashahidi wa upande wa mashitaka kutofika mahakamani.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali