Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtoto wa miaka 4 auwawa kikatili Tabora

Jumatatu , 24th Sep , 2018

Mtoto Aisha Husseni mwenye umri wa miaka minne amekutwa ameuwawa kikatili na kisha mwili wake kuchomwa moto kwenye mfuko wa sandarusi na watu wasiojulikana katika Mtaa wa Sukuma Kata ya Mbugani Manispaa ya Tabora.

RPC Tabora Emmanuel Nley

Tukio hilo la kusikitisha limebainika leo wakati familia ya mtoto huyo wakimtafuta kwa siku mbili bila mafanikio.

“Huyu mtoto kapotea toka saa nane tukamtafuta tukamkosa, tukatoa taarifa msikitini hadi polisi na ndipo nilipopigiwa simu kuwa mtoto amefariki na ndipo tulipofika” amesema Hussen Maulid Baba wa Mtoto.

Baadhi ya viongozi wa serikali ya Kata wameeleza walivyopata taarifa hiyo pamoja na kulaani kitendo hicho.

“Niliwahoji wakasema kwao kulikuwa na sherehe baada ya sherehe watoto walitakiwa kutoka lakini yeye akapotea katika mazingira ya kutatanisha “ameeleza Abdalah Salum Mwenyekiti Mtaa wa Sukuma.

Salum ameongeza kuwa mtoto huyo amechomwa katika maeneo ya sehemu za siri pamoja na kutelekezwa. Kamanda wa polisi mkoani humo, Kamishna Msaidizi wa Polisi Emmanuel Nley, amethibitisha kupokea taarifa za matukio mbalimbali na kesho atatolea ufafanuzi kesho.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto