Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Mwaka wa 'Panya' ni wa mafanikio' - Simbachawene

Jumapili , 19th Jan , 2020

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, George Simbachawene, amesema kuwa Mwaka Mpya wa Panya ulioadhimishwa usiku wa kuamkia leo Januari 19, 2020, utakuwa na mafanikio kwa Taifa, hii ni kutokana na uwepo wa mahusiano mazuri kati ya Tanzania na China.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, George Simbachawene.

Waziri Simbachawene ameyabainisha hayo wakati wa hafla ya kuadhimisha Mwaka Mpya wa Kichina uliopewa jina la mwaka wa Panya, ambapo kwa mwaka jana waliuita mwaka wa Nguruwe.

"Mwaka huu wa Panya kwa mila za Kichina ni mwaka ambao mnausherehekea huku mkitafakari mliyoyafanya mwaka uliopita, na mimi naamini kwa kuwa Panya ni mnyama mjanja sana, naamini Mwaka huu utakuwa wa mafanikio makubwa kati ya Tanzania na China" amesema Waziri Simbachawene.

Kwa upande wake Balozi wa China Nchini Tanzania, Wang Ke, amesema kuwa Serikali ya nchi hiyo itaendelea kushirikiana na Tanzania katika ukuzaji wa maendeleo na kwamba katika kipindi cha Mwaka huu mpya, wataendeleza mikakati ya kupunguza umasikini pamoja na kujenga jamii yenye uchumi imara.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava