Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwalimu kizimbani kwa kumbaka mwanafunzi

Jumatano , 4th Dec , 2019

Mahakama ya Hakimu Mkazi Songwe, imempandisha kizimbani Emanuel Mbembela (42) mwalimu wa Shule ya Sekondari Nambizo, kwa kumbaka na kumpa ujauzito mwanafunzi  wa kidato cha nne.

Akimsomea mashtaka hayo mwendesha mashtaka wa Serikali, Gibson Tawale, mbele ya Hakimu wa Mahakama hiyo Tumain Maleko, amesema mshtakiwa ametenda kosa hilo Julai 30, 2019, katika Kijiji Cha Isenzanya Kata ya Nambizo, wilayani Mbozi.

Mwendesha mashitaka wa Serikali Gibson Tawale ameongeza kuwa mshtakiwa anakabiliwa na mashtaka matatu, huku la kwanza ni kumbaka mwanafunzi, kosa la pili kumpa ujauzito na kosa la tatu kumkatisha masomo mwanafunzi.

Mwendesha mashtaka wa Serikali Gibson Tawale, amesema kuwa upelelezi unaendelea juu ya tukio hilo na ameomba tarehe nyingine kwa ajili ya kusoma hoja za awali .

Kwa upande wake Mwalimu Emanuel Mbembela, amekana shitaka hilo na Hakimu wa mahakama hiyo Tumain Maleko ameahirisha shauri hilo mpaka Desemba 17, 2019.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA