Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwambe ataja sababu ya msingi iliyomuondoa CHADEMA

Jumatatu , 11th Mei , 2020

Mbunge wa Ndanda Cecil Mwambe, anayemalizia muda wake wa Ubunge kupitia CHADEMA, na kisha kuendelea na chama chake cha sasa cha CCM, amesema kuwa kukosekana kwa ajenda muhimu za kuelekea katika uchaguzi Mkuu wa 2020 ndani ya chama hicho, ndiyo chanzo cha yeye kutimkia CCM.

Mbunge wa Ndanda, Cecil Mwambe.

Mwambe ameyabainisha hayo alipofanya mahojiano maalum na EATV&EA Radio Digital, na kuongeza kuwa kwa sasa chama hicho hakina budi kujikita katika kuboresha ajenda zake, badala ya kuendelea kuhangaika na mambo mengine.

"CHADEMA watafute ajenda kwa ajili ya uchaguzi Mkuu ujao sasa hivi hawana ajenda ndiyo kitu ambacho hata mimi kiliniondoa huko kwasababu sijaona ajenda inayotufanya tuende kwa wananchi kuomba kura, sasa hivi wamesha-shift kwenye mambo mengine yote wamebaki kulalama tu ooh mwambe amerudi Bungeni" amesema Mwambe.

Hivi karibuni Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai, alieleza kutoitambua barua iliyoandikwa na Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika ya kulieleza Bunge kuwa lisimtambue tena Cecil Mwambe, kwa kuwa alishajiuzulu nafasi zake zote ndani ya chama, badala yake Spika Ndugai alimtaka Mbunge huyo kurejea Bungeni.

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava