Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwanafunzi aliyetoa laki 9 kwa ajili ya GPA adakwa

Jumanne , 7th Jan , 2020

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), mkoani Dodoma, inamshikilia mwanafunzi wa mwaka wa tatu, katika chuo kikuu cha St John's mkoani humo, James Kwangulija kwa kosa la kujaribu kutoa hongo ya laki tisa kwa afisa mitihani ili asaidie kuongeza ufaulu kwa wanafunzi wenzake 6.

Akizungumza leo Januari 7, 2020, Mkuu wa TAKUKURU mkoani humo, Sosthenes Kibwengo, amesema uwepo wa tabia ya baadhi ya wanafunzi kutoa rushwa katika masomo, unapelekea kuzalisha wasomi wengi wasiokuwa na uelewa katika taaluma zao, hivyo kutokuwa na sifa za kuajiriwa kwenye soko la ajira hapa nchini.

"Leo tunatarajia kuwafikisha mahakamani watu wanne kwa makosa mbalimbali ya rushwa, akiwemo James Kwangulija (27), mkazi wa Kikuyu jijini Dodoma, mwanafunzi wa mwaka wa tatu wa  shahada ya kwanza ya Ualimu katika chuo cha St John's kwa makosa ya kujaribu kutoa hongo ya laki 9 kwa afisa mitihani wa chuo hicho ili asaidie kuongeza GPA kwa wanafunzi wenzake 6" amesema Kibwengo.

Katika hatua nyingine TAKUKURU mkoani humo, itamfikisha pia mahakamani Rainer Kapinga, aliyekuwa Mganga Mkuu Wilaya ya Bahi, pamoja na Raymond Mhegele ambaye ni Afisa TEHAMA wa wilaya hiyo kwa kosa la matumizi mabaya ya madaraka yao.
 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA