Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwanasheria Alberto Msando asombwa na CCM

Jumanne , 21st Nov , 2017

Mwanasheria maarufu nchini Alberto Msando ambaye amewahi kuwa mwanachama wa Chadema pamoja na ACT-Wazalendo amehamia Chama cha Mapinduzi.

Msando ameomba ridhaa ya kujiunga na CCM leo kwenye mkutano mkuu wa Halmashauri kuu ya NEC unaoendelea jijini Ikulu Dar es salaam na kukubaliwa na wanachama chini ya mwenyekiti wa chama hicho Rais John Pombe Magufuli.

“Nimeona harakati nyingi za serikali na Chama cha Mapinduzi katika kuwaletea maendeleo wananchi hivyo nimekaa nakajitathimini nimeamua kujiunga na CCM ili nisaidie kusukuma gururudumu la maendeleo.

Msando pia ameeleza kuwa alikuwa anaona anachelewa kujiunga na vijana wenzake kama Mbunge wa Dodoma Mjini Antony Mavunde ambao mara zote amekuwa akiwaona wapo mstari wa mbele katika kupigania maendeleo ya vijana na taifa kwa ujumla.

Aidha Msando ambaye amewahi kuwa mshauri wa Chama cha ACT-Wazalendo amesema hii ni mara yake ya kwanza kuingia CCM kwa kuwa kwa sasa si aibu tena kwa mtu kujitambulisha kuwa ni mwana CCM kwani imesafishika kuliko ilivyokuwa awali ambapo ulikuwa ukionekana na nguo za CCM unazomewa mitaani.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto