Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwanza: Baba wa miaka 50, abaka na kulawiti watoto

Ijumaa , 3rd Jul , 2020

Mwanaume mmoja anayefahamika kama Felix Rwechungura mkazi wa Isamilo Msikitini, mkoani Mwanza, anatuhumiwa kuwabaka na kuwalawiti kwa nyakati tofauti, watoto watano wenye umri wa miaka sita na miaka saba na kuwaharibu vibaya.

Ukatili

Imeelezwa kuwa baba huyo mwenye umri wa miaka 50, anatuhumiwa kuwabaka watoto hao bila huruma, ambapo mke wake Janeth Steven amesema kuwa mume wake huyo kwa muda mrefu, watoto wengi wa hapo mtaani walikuwa wakimuogopa.

Aidha baaadhi ya watoto wanaodaiwa kufanyiwa kitendo hicho wamesema kuwa, mwanaume huyo alikuwa akiwaita na kuwapeleka chumbani kisha kuwalazimisha kuwavua nguo, na baada ya hapo huwafunga kamba na kisha kuwalazimishwa kuwaingilia kimwili.

Yassin Ally ni Mkurugenzi wa shirika la kutetea haki za watoto na wanawake, amewaomba wazazi kuzungumza na kuwakagua watoto wao ili kubaini changamoto zinazowakabili.

 
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine