Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwapachu afuata nyayo za Kingunge, ang'oka CCM

Jumatano , 14th Oct , 2015

Kada wa siku nyingi wa chama cha Mapinduzi CCM,tangu mwaka 1967, Balozi Juma Mwapachu ametangaza kujivua uanachama wa chama hicho kutokana na kile alichoeleza kuwa ni CCM kupoteza lengo la kuwa chama cha watu.

Kada wa siku nyingi wa chama cha Mapinduzi CCM,tangu mwaka 1967, Balozi Juma Mwapachu.

Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari aliyoitoa jana Jijini Dar es Salaam Balozi Mwapachu amesema dalili za CCM, kuwa chama cha viongozi wachache zilianza siku nyingi hasa katika kipindi cha uongozi wa Jakaya Kikwete.

Balozi Mwapachu amesema kuanzia hii leo amejivua uanachama rasimi na kuongeza kuwa amechagua siku ya leo kwa kuwa ndio siku mwafaka ambayo inahusu uanasiasa wake tangu mwaka 1967.

Amesema moja ya sababu nyingine zilizomfanya kuhama chama hcake hicho ni kutoakana na kukiukwa kwa mchakato wa uchaguzi wa uteuzi was urais mjini Dodoma na yeye alionyesha msimamo wake dhahiri kumuunga mkono Mh. Edward Lowassa.

Mwapachu ameongeza kuwa uamuzi wake wa kuumuunga mkono Lowassa sio wa kukurupuka bali ni kutokana na kumfahamu mgombea huyo ambae kwa sasa anagombea kupitia CHADEMA, tangu mwaka 1990 kutokana na mahusiano waliyokuwa nayo pamoja na majukumu ya kichama.

Amemsifu Lowassa kuwa amejaliwa nuru na uwezo wa kuongoza na kupendwa na watu na msikivu na ni kiongozi asiependa ukiritimba na utovu wa nidhamu iwe kwa upande wa watumishi au wananchi wenyewe.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava