Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwenge wa uhuru waingia mkoani Kagera

Alhamisi , 6th Oct , 2022

Mwenge wa Uhuru umemaliza mbio zake mkoani Kigoma, na kukabidhiwa mkoa wa Kagera huku ukiagiza wasimamizi wa Miradi ya Maendeleo Kila Halmashauri Nchini, kuwa wazalendo katika Kusimamia Miradi na kuleta ufanisi unaotakiwa kwa lengo la kusaidia maendeleo ya wananchi na Taifa

Ukiwa Mkoani Kigoma Mwenge wa Uhuru Umekimbizwa Kilomita 973 katika halmashauri nane za mkoa wa Kigoma, na kuzindua, kuweka mawe ya msingi na kutembelea miradi 51 yenye thamani ya Bilioni 12.03.

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye akikabidhi Wakimbiza Mwenge Kitaifa kwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera amesema Mbio za Mwenge zimeacha manufaa makubwa katika miradi ya maendeleo.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mheshimiwa Albert Chalamila akipokea Mwenge wa Uhuru kabla ya kuanza mbio zake ndani ya Halmashauri nane za mkoa huo amesema utapitia miradi 37 yenye thamani ya bilioni 13.6.

Katika Makabidhiano hayo, Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Sahili Geraruma ameagiza uwepo wa taarifa sahihi za miradi na kuagiza fedha za miradi ya vijana kuhakikisha inawakwamua kiuchumi.
 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu