Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwenyekiti CHADEMA apotea kusikojulikana

Alhamisi , 14th Feb , 2019

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Manyara, Deusdedit Nsimeki ameeleza kuwa anafuatilia taarifa juu ya madai ya kupotea Mwenyekiti wa Kijiji cha Gijedubung anayetokana na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), ambaye anafahamika kwa jina la Faustine Kwaslema.

Kwa mujibu wa Kamanda Nsimeki, kwa sasa hana taarifa ya awali juu ya tukio hilo bali ameanza kulifuatilia ili kujua nini kilichotokea kwa mwenyekiti huyo ambaye inasemekana amepotea kusikojulikana mpaka sasa.

"Ngoja nifuatilie maana sijaipata bado kama mtu ametoweka vyombo vipo, wenye ndugu zao walitakiwa wapeleke taarifa polisi, ila na wao wanafanya makosa makubwa msemaji ni mimi nashangaa kwanini wao wanazungumza", amesema Kamanda Nsimeki.

Mapema leo kupitia mitandao ya kijamii kulianza kusambaa taarifa ya juu ya hali ya hofu na wasiwasi kufuatia kutoonekana kwa Mwenyekiti huyo wa Kijiji.

Taarifa hiyo ilieleza kuwa ilimnukuu Mtendaji wa Kijiji, John Isdory ambaye amedai Faustine alitoka nyumbani kwake asubuhi ya Februari 9 akiwa na usafiri wa Pikipiki na hakurejea tena mpaka sasa.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto