Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwigulu aelezea CCM kukosa ushindi kwenye uchaguzi

Jumatano , 15th Mei , 2019

Aliyekuwa Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba amedai ushindi ambao wamekuwa wakiupata Chama Cha Mapinduzi hautokani na kupendelewa na Wakurugenzi wa ambao ni wasimamizi wa uchaguzi.

Aliyekuwa Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba.

Mwigulu ametoa mkauli hiyo ikiwa ni siku chache baada ya Mahakama kuu ya Tanzania kubatilisha sheria inayowapa Mamlaka Wakurugenzi kusimamia Uchaguzi huku baaadhi yao wakiwa wafuasi wa vyama vya siasa, kesi ambayo ilifunguliwa na Mwanaharakati Bob Chacha Wangwe.

Akijibu tamko la ACT - Wazalendo ambao walihoji juu ya CCM kupata ushindi wa upendeleo, Mwigulu Nchemba amesema, "ushindi wa CCM hautokani na na hisani ya Wakurugenzi bali ni kura za wananchi. CCM ina heshima ya urithi wa ukombozi wa nchi hii ambayo chama kingine chochote hakina".

"CCM ina mtandao wa wanachama na muundo wa kitaasisi kuliko chama chochote kile nchini, CCM mara zote imekuwa na ilani bora, sera bora, na wagombea bora kuliko wengine." amesema Mwigulu Nchemba.

"Acheni Wanasheria wafanye ya kisheria, wanasiasa msitafute huruma na visingizio, wakati wengine hamna hata wanachama wanaofikia idadi ya wanachama wa CCM wa kijiji kimoja, hata mkisimamia wenyewe uchaguzi CCM ina wapiga kura itashinda", amemalizia katika maoni yake Mwigulu Nchemba.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava