Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwigulu amuunga mkono Gambo

Jumatano , 18th Oct , 2017

Waziri wa Mambo ya Ndani Mh. Mwigulu Nchemba ameipongeza kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa wa Arusha chini ya mwenyekiti  Mrisho Gambo ambaye ni mkuu wa mkoa kwa kuendelea kufanikisha ujenzi wa nyumba za Askari.

Waziri Mwigulu ametoa pongezi hizo baada ya kutembelea na kujionea ujenzi wa nyumba za askari ambazo ziliungua kwa moto mwezi Septemba na kuacha familia za askari zaidi ya 13 zikiwa bila makazi pamoja na vitu vya ndani.

Pamoja na shukrani hizo lakini Mwigulu amesema kuwa suala la makazi bora kwa askari ni kipaumbelele cha serikali ya awamu ya tano chini ya Rais John Magufuli hivyo wataendelea kuboresha makazi yao kadri inavyowezekana.

Ujenzi wa nyumba hizo ulianza Oktoba 2 mwaka huu ambapo jumla ya nyumba 29 za askari katika kambi iliyoathirika na moto zinajengwa. Wakati huo nyumba Saba zinajengwa  kwenye kituo kidogo cha Polisi Morombo kata ya Murieti na zipo katika hatua ya msingi.

Rais Magufuli aliguswa na tukio hilo na kutoa pole pamoja na mchango wake kama serikali ili kuwezesha ujenzi wa nyumba mpya. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha RPC Charles Mkumbo ameendelea kuwashukuru wadau kwa kujitolea na kuwaomba kuendelea kushirikiana na jeshi la Polisi kuboresha makazi ya Askari hali ambayo itaongeza morali ya kazi.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava