Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwinyi abaini hili katika kipindi chake cha urais

Jumatatu , 1st Mar , 2021

Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema miongoni mwa mambo aliyoyabaini ndani ya muda mfupi tangu ateuliwe kuwa Rais wa Zanzibar ni wanachi kukosa sehemu ya kuwasilisha changamoto zao.

Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi.

Akizungumza katika Kongamano la kujadili Matumizi ya Sekta ya Mawasiliano ya Habari katika kuijenga Zanzibar mpya, mjini Unguja ameeleza kwa muda mrefu wameimarisha mifumo ya taarifa kupelekea kwa wananchi lakini bado hakuna mifumo madhubuti ya kupokea taarifa kutoka kwao.

“Mimi binafsi miongoni mwa mambo niliyoyabaini katika kipindi hiki kifupi tokea kuchaguliwa kuwa Rais wa Zanzibar ni changamoto nyingi zinazowakabili wananchi na kwa bahati mbaya wanakosa sehemu ya kuziwasilisha changamoto hizo na kupata ufumbuzi wa haraka” amesema Rais Mwinyi

Aidha Rais Mwinyi ametoa maagizo kwa wakuu wa  Taasisi kukutana na wanahabari na kujadili namna ya kufanikisha utoaji wa habari huku akiwahimiza wanahabari kushirikiana na serikali kupiga vita ufisadi, udhalilishaji, rushwa na vitendo vyote vya uvunjifu wa sheria.

“Nachukua nafasi hii kuwaagiza wakuu wa Taasisi kukutana na maafisa habari na maafisa uhusiano waliopo kwenye taasisi zao na kuweka mikakati yao kwa pamoja namna ya kuwasilisha utoaji wa habari katika taasisi zao sambamba na kutatua changamoto zao.”      

HABARI ZAIDI

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa