Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mziray: Bunge la Katiba litaendelea bila UKAWA

Jumatatu , 4th Aug , 2014

Rais wa Baraza la Vyama vya Siasa nchini Tanzania Bw. Peter Kuga Mziray amesema mchakato wa kutafuta Katiba Mpya unaweza kuendelea na Watanzania wakapata katiba mpya, licha ya wajumbe kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA kutangaza kususia

Rais wa Baraza la Vyama vya Siasa nchini Tanzania, Peter Kuga Mziray.

Akizungumza kwa njia ya simu akiwa njiani kuelekea mjini Dodoma kwa ajili ya vikao vya bunge la Katiba vinavyoendelea kesho; Mziray amesema wajumbe kutoka kundi la UKAWA hawana nguvu ya kisheria ya kusimamisha mchakato huo, huku mkazi wa Dar es Salaam Bw. Hussein Mkude akitaka kuheshimiwa kwa maoni yaliyomo ndani ya rasimu ya pili ya katiba.

Kwa mujibu wa Mziray, Tanzania ina vyama zaidi ya ishirini ambavyo vimesajiliwa kihalali kufanya shughuli za kisiasa na kidemokrasia na kwamba vyama vitatu pekee ambavyo vinaunda UKAWA haviwezi kuhodhi haki ya vyama vingine vilivyosalia kushiriki mchakato wa katiba mpya.

Mziray amesema vyama vya siasa ni mmoja kati ya wadau muhimu wa mchakato wa katiba wakiwemo wananchi wasio fungamana na siasa zozote na kwamba hatua ya UKAWA kususia mchakato huo haiwazuii wadau wengine kuendelea na harakati za kuwapatia Watanzania katiba wanayoitaka.

Mziray amesema hata hivyo baraza lake limepanga kukutana na pande hasimu ndani ya bunge la katiba kwa lengo la kujadiliana ili kuondoa tofauti na mchakato huo kuendelea kama ulivyopangwa.

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu