Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nafasi ya vijana kwenye kipindi hiki cha kampeni

Jumamosi , 12th Sep , 2020

'Vijiweni ama vijiwe' ni sehemu maarufu kwa wanaume kupiga soga, kuzungumza na kubadilishana mawazo huku wakiwa ama wanakunywa vinjwaji, wanacheza bao, draft au ni sehemu ya ofisi ya ufundi n.k. 

Vijana wakicheza draft katika 'kijiwe'

Mazungumzo ya vijiweni aghalabu huegemea zaidi na wakati husika, mfano katika kampeni mazungumzo mengi ambayo hutawala huwa ni ya siasa, kama ilivyo kwa wakati huu ambao nchi inatarajia kufanya uchaguzi wake mkuu, Oktoba 28.

Katika kipindi hiki cha kampeni majukwaa mbalimbali ya kisiasa yamekuwa yakitumiwa na wagombea katika kujinadi na kuelezea sera zao, lakini hilo hufanyika pia katika vijiwe ambapo wasiokuwa na vyama na wanachama wa vyama tofauti hukutana katika vijiwe hivi ili kujadili, kuelezeana kinagaubaga, kushawishiana pamoja na kutafakari yale yanayoongelewa katika vizimba na majukwaa ya kisiasa.

''Watu wengi wanaofanya masuala ya kujadiliana kwenye vijiwe wanakuwa wanajuana sana, mbali na siasa kufanyika kwenye majukwaa, Sio wote wanaopata fursa ya kwenda katika mikutano ya kisiasa hivyo wanaokwenda wachache wanakuja kwenye vijiwe na kuwambia wenzao kinachokuwa kimejiri huko, mimi kwa upande wangu bado naona hivi vijiwe vina nafasi kubwa sana ya kutoa maarifa'', Said Nguya, Mchambuzi wa Siasa.

Aidha Nguya anaamini kuwa suala la kufahamiana miongoni mwa watu wanaopendelea kukaa vijiweni, huwafanya wahusika kuwa huru kujadiliana pamoja na kujuana katika uwezo wa kujenga na kuwasilisha hoja miongoni mwao, pia kutambuana nani anaweza kuaminika katika utoaji wa taarifa na mawazo mbalimbali wawapo vijiweni.
 

HABARI ZAIDI

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava