Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Nafasi zenyewe chache, Ubunge wa nini" - Waitara

Jumapili , 5th Jul , 2020

Naibu Waziri wa TAMISEMI Mwita Waitara, amesema kuwa kama yeye angelikuwa ni Mkuu wa Wilaya au Mkuu wa Mkoa basi asingehangaika kutafuta nafasi ya kugombea Ubunge, kwani angeridhika na nafasi yake aliyokuwa nayo.

Naibu Waziri wa TAMISEMI Mwita Waitara.

Waitara ametoa kauli hiyo hivi karibuni wakati akizungumza na EATV&EA Radio Digital, na kusema kuwa kauli ya Rais Magufuli ya kuwataka wateule wake kuridhika na nafasi walizonazo, iko sahihi kabisa kwa kuwa nafasi za kuteuliwa ni chache sana na ni jambo la kumshukuru Mungu.

"Unajua hizi nafasi za kuteuliwa siyo nyingi sana, kwa mfano wewe ni RC, unakuwa ndiyo Mwenyekiti na Mkoa wako labda una Wabunge 11, kwahiyo unakuwa unaongoza Wabunge 11, unasema unaacha u-RC eti unautafuta Ubunge, kama mimi ningekuwa RC ningebaki na Ukuu wa Mkoa wangu kwanza tuko wengi nafasi zenyewe ni chache, kama umepewa nafasi hiyo kwanini usiikamilishe" amesema Waitara.

Hivi karibuni Rais Magufuli wakati akiwaapisha viongozi aliowateua, Ikulu ya Dar es Salaam, aliwasisitiza umuhimu wa kuridhika na nafasi walizonazo, kwani kutoridhika na nafasi zao kuna sababisha migogoro isiyokuwa na tija miongoni mwao wao wenyewe.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava