Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Naibu Waziri alalamikia usalama jimboni kwake

Jumatatu , 24th Sep , 2018

Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji na Mbunge wa Jimbo la Pangani Juma Aweso amevitaka vyombo vya ulinzi na usalama kuongeza umakini wa hali ya ulinzi katika jimbo lake la Pangani kufuatia kifo cha dereva wa bodaboda aliyefahamika kwa jina la Sharo.

Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji na Mbunge wa Jimbo la Pangani Juma Aweso (kushoto) na marehemu Sharo aliyekuwa dereva wa bodaboda, (kulia).

Kupitia ukurasa wake wa kijamii Naibu Waziri Juma Aweso ameonesha kuguswa na kifo cha kijana huyo ambaye inatajwa alikua dereva wa bodaboda wilaya Pangani na  anadaiwa kunyongwa na watu wasiojulikana na kumuibia pikipiki.

Naibu Waziri Aweso ameandika “Kwa masikitiko makubwa nimepokea taarifa ya kifo cha kijana mwenzangu maarufu kwa jina la Sharo kilichotokea kwa kunyongwa jimboni Pangani..,Nikiri kua jambo hili limenigusa na kuniumiza sana,nimepeleka hisia zangu mbali na kuwaza kijana asie na hatia anayehangaika kufanya kazi kutimiza malengo yake anakatizwa uhai wake kwa ajili ya wizi wa pikipiki na kupoteza maisha,ama kwa hakika inasononesha sana…”

Nitoe wito kwa serikali tena kwa hisia kali ikiwemo vyombo vya ulinzi na usalama kuliangalia suala hili kama jambo la dharula na kulitafutia ufumbuzi wa kudumu kwani sio mara ya kwanza inatokea.” Aliongeza Naibu waziri Aweso

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu