Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Namthamini ni ya tofauti'' - Afisa Elimu Tabora

Ijumaa , 16th Aug , 2019

Afisa Elimu Vifaa na Takwimu (Sekondari) Manispaa ya Tabora, Bi. Halima Athumani Sangali, ameisifu Kampeni ya Namthamini kwa kujikita kusaidia shule za Vijijini tofauti na ambayo huwa wanafanya wadau wengine.

Wanafunzi wa shule ya Sekondari Ikomwa iliyopo Manipsaa ya Tabora

Bi. Halima ameyasema hayo leo Agosti 16, 2019, wakati akipokea taulo za kike kwaajili ya wasichana wa shule ya Sekondari Ikomwa, iliyopo takribani Kilometa 50 kutoka Tabora Mjini.

"Kampeni hii ya East Africa Television na East Africa Radio nimeipenda sana ni ya tofauti na nyingine, mnafika vijijini kwa wahitaji wenyewe, niwapongeze kwa leo kufika hadi huku Ikomwa ambako huwa hapafikiwi mara kwa mara na wadau" - Amesema Afisa Elimu Bi. Halima.

Afisa Elimu Vifaa na Takwimu (Sekondari) Manispaa ya Tabora, Bi. Halima Athumani Sangali akipokea pedi.

Aidha ameongeza kuwa taulo hizo za kike zitawasaidia wanafunzi kuongeza ufaulu kwani watajikita zaidi kwenye masomo na kuepuka utoro na vishawishi vingine.

Kampeni ya Namthamini ambayo imeshafikia wanafunzi wa kike zaidi ya 5000 ndani ya miaka mitatu, inaendelea kugawa taulo kwa shule mbalimbali ambapo kwa mwaka huu tayari imefika katika mikoa ya Manyara, Arusha na Tabora.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava