Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nane mbaroni kwa uhujumu uchumi

Alhamisi , 10th Oct , 2019

Watu 8 wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Tarime, kwa makosa matano likiwemo la utakatishaji fedha zaidi ya shilingi milioni 234, huku mtuhumiwa mmoja akidaiwa kutoroka.

Hatua hiyo imekuja baada ya kukutwa na mashtaka ya utoroshaji wa madini kinyume na sheria ya madini namba 14 ya mwaka 2010, na kuhujumu uchumi kinyume cha sheria ya utakatishaji fedha sheria kifungu cha 223 ya mwaka 2002.

Akisoma mashtaka hayo Wakili wa Serikali, Anesius Kainunura, ameieleza Mahakama hiyo kuwa mnamo Septemba 22, 2019,  watu hao 8 walikamatwa wakiwa wametenda kosa la kuhujumu uchumi na kukutwa na mawe yenye dhahabu na kufikishwa katika kituo cha polisi.

Kutokana na Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Wilaya ya Tarime, kutokuwa na uwezo wa kusikiliza kesi za uhujumu uchumi na utakatishaji fedha, kesi hiyo imeahirishwa hadi Oktoba 23, 2019.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto