Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Nape alikuwa anatuma meseji usiku saa 8' - JPM

Jumanne , 10th Sep , 2019

Mbunge wa Mtama Mkoani Lindi Nape Nnauye, amemuomba msamaha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, hii ikiwa ni miezi kadhaa imepita tangu kusikika kwa sauti yake na viongozi wengine wa siasa zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii zenye maneno yasiyofaa.

Rais Magufuli (kulia) na Nape Nnauye (kushoto).

Mbunge Nape amekutana na Rais Magufuli leo Septemba 10, 2019, Ikulu ya Dar es Salam, ambapo mara baada ya mazungumzo yao amemshukuru Rais kwa kukubali kukutana naye na kumsamehe.

''Kwanza nimekuja kumuona kama Baba yangu, kwa sababu wote mnajua yametokea mambo mengi hapa katikati na mimi kama mtoto wa CCM, mimi kama mwanaye nilidhani ni vizuri nije niongee na Baba yangu na namshukuru kwamba alinipa fursa ya kumuona na ameniambia amenisamehe'' amesema Nape.

Kwa upande wake Rais Magufuli amesema, Nape amekuwa akiomba kukutana nae mara nyingi kupitia kwa watu mbalimbali wakiwemo wasaidizi wake, viongozi wastaafu na viongozi wa CCM na kwamba baada ya kukutana nae na kumuomba radhi ameamua kumsahehe.

''Kikubwa anachozungumza naomba Baba unisamehe,  kwahiyo inauma kusamehe kunaumiza lakini nasema kwa dhati nimemsamehe'', amesema Rais Magufuli.

Ikumbukwe kuwa Rais Magufuli amemsamehe Nape ikiwa ni siku chache tu, tangu alipotangaza kuwasamehe wabunge William Ngeleja na January Makamba.
 

Zaidi Tazama video hapo chini

HABARI ZAIDI

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava