Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Nape aliteleza, Mumsamehe- Spika Ndugai

Jumatatu , 3rd Mei , 2021

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai, amempa onyo mbunge wa Mtama kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, kwa kitendo chake cha kuwasema vibaya wabunge wenzake 19 waliofukuzwa uanachama na CHADEMA. 

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai

Hayo yamejiri hii leo Mei 3, 2021, Bungeni jijini Dodoma, zikiwa zimepita siku chache baada ya video kusambaa ikimuonesha mbunge Nape akichangia moja ya mjadala uliohusisha wabunge 19 wa Viti Maalumu akiwaita COVID-19 akidai kuwa wamefukuzwa chama na jambo hilo liheshimiwe. 

"Majuzi mdogo wangu Nape yalimtoka maneno kidogo na yamezunguka sana, ikifika mahali mbunge na Spika muanze kupishana naona haipendezi eeh kwahiyo sitopitia hoja zake, kitu kimoja ambacho hana uhuru sababu ya kanuni ni kuwasema vibaya wabunge wenzake, aliwataja kwa majina ya huko mitaani kwakweli alikosea sana", amesema Spika Ndugai

"Niliongea naye naamini aliteleza, ninachowaomba mumsamehe bure mtu akikufanyia kosa kubwa sana unachoweza kufanya ni kumsamehe bure aliwakosea sana, tuchunge sana midomo yetu tunapo-deal na binadamu wenzetu, Nape unapo-deal na wanawake Duniani kote unaongea nao kwa heshima", ameongeza Spika Ndugai 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto