Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nape atulizwa bungeni

Jumatatu , 12th Nov , 2018

Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye amegusia suala la korosho kwenye mkutanowa 13 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati kwenye mkutano wa Jumatatu novemba 12 akiuliza swali kwa Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa.

Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye

Katika kikao hicho Nape Nnauye aliuliza "katika jitihada za Mkoa wa Lindi kuboresha elimu tulipitisha kila kilo moja ya korosho kukatwa shilingi 30 ili kuboresha elimu, kwa halmashauri kama ya kwangu tulipata zaidi ya milioni 400, Nini mpango wa serikali kuendeleza mpango huu, kwa kuwa wote tunajua hali iliyotokea kwenye korosho, ile fedha hatuwezi kuipata tena?".

Akijibu swali hilo ni vizuri Naibu Waziri TAMISEMI, Josephat Kandege amesema "Nape tusubiri najua unatamani korosho zinunuliwe, lakini vile ambavyo tulipanga viende kwenye maendeleo lazima viendelee,"

Kumekuwa na sintofahamu juu ya ununuzi wa zao la korosho baina ya wakulima, serikali pamoja na wafanyabiashara hali iliyopelekea serikali kutoa siku 4 kuanzia Ijumaa ya wiki iliyopita hadi leo jumatatu ya novemba 12 saa 19 jioni kama watanunua au hawatanunua.

Akizungumza na wanajeshi pamoja na Jeshi la Kujenga Taifa nchini ambapo aliambatana na Mkuu wa Majeshi nchini Jenerali Venance Mabeyo amesema "tumejifunza wametupa akili mapema wamechelewa na korosho zetu tutaziuza, na msimamo huu pia utaendelea kwenye mazao mengine kwa wale watakaotaka kuchezea wakulima, lazima tujipange kikamilifu."

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava