Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

NCCR-Mageuzi walia ushirikishwaji UKAWA

Ijumaa , 18th Sep , 2015

Viongozi wa juu wa Chama cha NCCR-Mageuzi, akiwemo Makamu Mwenyekiti, Katibu Mkuu na Wajumbe wa Halmashauri kuu ya Chama hicho wameelezea kutoridhishwa na ushirikiano wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).

Katibu Mkuu wa NCCR-MAGEUZI, Mosena Nyambabe akizungumza na waandishi wa habari

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam katibu Mkuu wa chama hicho Mosena Nyambabe amesema chama hicho kinapewa ushiriki mdogo ndani ya Umoja huo lakini pia kukiukwa kwa makubaliano waliyowekeana tangu awali.

Nyambane amesema katika makubaliano ya awali walipewa majimbo 12 kusimamisha wagombea lakini kati ya hao kuna majimbo sita ambayo Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA nao wamesimamisha hali inayowafanya kuona kuna viashiria vya kugeukwa pindi watakapotwaa madaraka

Naye Makamu mwenyekiti wa chama hicho bara Bi. Leticia Ghati Mossore ameongeza kuwa licha ya kusimamisha wagombea hao sita katika majimbo hayo bado katika majimbo mengine sita yaliyobaki wanafanyiwa fujo na chama hicho ikiwemo kuwakataa mbele ya mikutano.

Aidha makamu huyo mwenyekiti amemtaka mwenyekiti wa chama hicho ndugu James Mbatia aweze kuitisha mkutano wakKikatiba ili kuweza kujadili hatma ya chama hicho baada ya uchaguzi mkuu.

Aidha viongozi hao wamemuonya mwenyekiti huyo kuacha kuwa msemaji wa mambo ya CHADEMA au UKAWA huku akiacha maslahi ndani ya chama chake yakipotea kwa kufuata mkumbo ambao unaweza kukipoteza kabisa chama hicho.

Hata hivyo Mwenyeki wa chama hicho ndug James Mbatia anatarajia kuongea na waandishi wa habair ili kutolea ufafanuzi juu ya suala hilo.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali