Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ndugai aeleza kinachoendelea sakata la wabunge 19

Jumatatu , 30th Nov , 2020

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai, amesema kuwa wabunge wote ambao tayari wamekwishaapishwa, wanatambulika kwamba ni wabunge kamili wakiwemo hata wale wabunge wa viti maalum kutoka CHADEMA ambao wamefukuzwa uanachama na chama chao.

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Novemba 30, 2020, mara baada ya kuwaapisha wabunge wawili walioteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli, ambao ni Hamphrey Polepole na Riziki Lulida.

"Wabunge wote wa Bunge la 12 tuliowaapisha tunaendelea kuwatambua kwamba ni wabunge kamili wote ikiwa ni pamoja na wale 20 wa chadema, 19 wa viti maalum na yule mmoja aliyechaguliwa, Mh. Aida Khenani, nashangaa wanawasonga tu hawa 19 yule mmoja wamemgwaya wakiweza wamfukuze basi", amesema Spika Ndugai.

Aidha Spika Ndugai amempa onyo Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe, kuacha tabia yake ya kuwadhalilisha wanawake hadharani, "Hamjui kwanini wale 19 wamepitia mapito gani, hamjui kwanini imekuwa hivyo, yako mambo hatuwezi kusema humu, viko vyama ni kampuni ya mtu, mtu ni Mungu mtu  bila yeye hakiwezekani chochote, namuambia hawa 19 ni wabunge labda wao kwa kutumia utaratibu wa kikatiba wajiuzulu, lakini kwa yeye na Mnyika wake wale ni wabunge". 

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava