Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ndugai ahoji sababu ya wananchi kuichagua CHADEMA

Jumatatu , 18th Mei , 2020

Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai, amehoji kama ipo sababu ya wananchi kuendelea kuwapigia kura na kuwachagua viongozi wa CHADEMA, kwa kile alichokieleza kuwa chama hicho ni kama kundi tu ambalo linaongozwa na mtu mmoja.

Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai.

Spika Ndugai ameyabainisha hayo leo Mei 18, 2020, jijini Dodoma, wakati akizungumza na Waandishi wa Habari na kumuomba Mbowe ajirekebishe kwa kuwa amekuwa ni kiongozi kwa muda mrefu na aache kuwaonea Wabunge wake ikiwemo kuwakata mishahara yao.

"Wabunge wamechaguliwa na wananchi, wewe unawafukuza tu, haujali hata wale wananchi waliokaa foleni kuwachagua wawakilishi wao, hivi kesho na keshokutwa mwananchi ana sababu gani ya kuchagua Mbunge wa CHADEMA, ambaye anaenda kutawaliwa na Mbowe na kundi lake na kuamrishwa mwanzo mwisho, kuingizwa na kutolewa Bungeni wanavyotaka wao, Mbowe ajifunze kubadilika" amesena Spika Ndugai.

Aidha Spika Ndugai, amemuomba Mbowe kuacha kujipima mabavu na Rais Magufuli kwa kuwa ni mkuu wa nchi na anapaswa kumuheshimu.

 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali