Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

NEMC yaonya wanaoingiza vibebeo vilivyokatazwa

Ijumaa , 11th Sep , 2020

Serikali imetoa onyo kwa wafanyabiashara nchini ambao bado wanaendelea kuingiza vibebeo vilivyopigwa marufuku kwa mujibu wa kanuni ya sheria za mazingira na kuwataka wafanyabiashara kuendelea kubadilisha fikra kwa kuwa Mpango uliopo ni kuondoa kabisa malighafi zote zenye madhara.

Mkurugenzi Mkuu (NEMC)Dk Samuel Gwamaka katika mahojiano na EATV ofisini kwake

Onyo hilo  limetolewa na Mkurugenzi Mkuu kutoka Baraza la Taifa la hifadhi na usimamizi wa Mazingira (NEMC)Dk Samuel Gwamaka kufuatia kuwepo kwa wafanyabiashara wachache wenye vitendo hivyo akibainisha kuwa kitu chochote cha kisichooza ni hatari kwenye mazingira.

"Tumekuwa tukitoa maonyo kila Mara lakini bado kuna wafanyabiashara wasio waaminifu wanatumia njia za panya kuingiza vibebeo vilivyopigwa marufuku na serikali kwa sasa tukikukamata tutakufungulia mashitaka na ukibainika kwa mujibu wa Sheria za nchi wachukuliwe hatua kali "-Dk Samuel Gwamaka.

Katika mahojiano na EATV  amezitaka halimashauri zote nchini kuhakikisha wanaweka  utaratibu wa kufanya utafiti juu ya aina za taka zinazozalishwa katika maeneo mbalimbali ili iwe  rahisi kuzisafirisha kwenda mahali husika.

"Nitumie fursa hii kutoa ushauri kuwa manispaa zote kufanya tafiti juu ya taka zinazozalishwa kwenye maeneo yao kwa kuwa nyingi hazikusanywi inavyostahili kutokana na changamoto mbali mbali baraza lipo na wataalamu wako hapa tuko tayari kuwaelekeza mbinu rahisi zenye gharama nafuu katika kuyalinda mazingira yetu"alisema Dk Gwamaka Mkurugenzi Mkuu NEMC.

Takataka zimetajwa kuwa fursa ambayo jamii inaweza kuitumia kwa kuzikusanya kwa aina ya makundi yake na kuzirejeleza hali inayoweza kuongeza kipato kwa mtu na taifa  kutokana na uwekezaji wa viwanda.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA