Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ni marufuku kuchimba kisima kwako

Alhamisi , 22nd Nov , 2018

Pamoja na umuhimu wa maji kwa afya ya binadmu lakini huduma hiyo hairuhusiwi kupatika kupitia kwa mtu kuchimba tu kisima bila kuhusisha mamlaka husika kwaajili ya kupewa maelekezo juu ya eneo sahihi la kuchimba kisima.

Kisima

Hayo yameelezwa na Mwanasheria wa Bonde la Mto Ruvu/Wami,  Bi. Monica Shiwu kwenye MJADALA wa East Africa Television leo Novemba 22, 2018, ambaye amesema kuwa kwa upande wa kanda ya Dar es salaam ili mtu amiliki kisima cha maji ni lazima afike ofisi za Maji Ubungo ili apate usajili pamoja na kupewa mtalaam atakayesimamia zoezi hilo.

''Ni kosa kwa mtu tu kuchimba kisima kiholela ni lazima azione mamlaka aweze kulipia na kupata mtalaam ambaye atamwelekeza ni wapi eneo zuri la kuchimba kisima hususani kwenye maeneo ya makazi ambayo yana shughuli nyingi za binadamu'', amesema.

Aidha amesema kuwa kwa Kisima cha matumizi ya nyumbani mmiliki anatakiwa kulipia shilingi elfu 60,000/= na kwa matumizi ya viwandani ni shilingi laki mbili na hamsini 250,000/=.

Bi. Monica amesisitiza kuwa ni muhimu kwa wananchi kufuata utaratibu huo kwani inasaidia kuondoa magonjwa mbalimbali yatokanayo na wananchi kuchimba kwa mazoea ambapo wengi hujikuta visima vinakuwa hata kwenye mikondo ya vyoo.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava