Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nikitumwa kazi na Rais siwezi kataa-Katibu CHADEMA

Ijumaa , 12th Oct , 2018

Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt Vincent Mashinji amesema kuwa hawezi kukubali kuwa mtumishi wa serikali kwa ajili ya kukwepa mgongano wa kimslahi lakini kama atapewa jukumu na Amiri Jeshi Mkuu Dkt John Pombe Magufuli lenye manufaa kwa nchi hawezi kukataa.

Akizungumza na www.eatv.tv ili kufahamu kama angeweza kurudi kuwa mtumishi wa Serikali kama historia yake inavyoonesha ambapo alikuwa moja ya madaktari waliofanya kazi kwenye hospitali ya Taifa ya Muhimbili,Dkt Mashinji amesema,

 "Naweza kufanya kazi na Serikali lakini siwezi kuwa mwajiriwa wa serikali sasa hivi kwasababu nimeshajiingiza kwenye Dunia nyingine ikiwemo biashara. Ni vizuri vijana wengine wanaotafuta uzoefu wa kiutumishi wakarudi kwenye utumishi wa umma na wakapata uzoefu wa kiutendaji tukawaachia wakaitumikia nchi ".

"Lakini tunautaratibu wetu kama taifa, ikitokea Amiri Jeshi Mkuu anapokutuma kazi huwezi ukakataa, kama ikitokea kama nimetumwa kazi kama Taifa nitafanya na nitawajibika kufanya kazi kwa moyo mkunjufu na furaha", ameongeza.

"Lazima wananchi tutofautishe shughuli za kisiasa na shughuli za kitaifa ikitokea leo hii nikiteuliwa na Rais kuwa mjumbe wa tume ya mabadiliko ya katiba ya taifa siwezi kukataa kwa sababu jambo hilo lina manufaa kitaifa".

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava