Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nikk ataja sababu Mastaa kuwachunia mashabiki

Jumatano , 21st Aug , 2019

MwanaHipHop kutokea kundi la Weusi Nikki Wa Pili, ameeleza sababu ya watu maarufu kupenda kujibu maoni 'Comments' za watu maarufu wenzao, kupitia mitandao ya kijamii, tofauti na watu wa kawaida.

Nikki Wa Pili ameeleza hayo baada ya kuandika katika mtandao wa kijamii wa Twitter  kuwa

Nimewahi kuona watu wakishambulia watu maarufu mitandaoni, kuwa wanajibu comment za watu maarufu wenzao, kiukweli bora wajibu hizo sababu inakua ni maongezi yenye staha, watu wengine hawana ustaarabu au wanatafuta vijisifa au hawajui kutawala, hisia zao yaani nivichekesho

Baada ya kuandika hivyo kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter Nikki Wa Pili alishambuliwa na watu kwa maneno kwa lugha chafu huku wakisema,

"Si sawa kwa watu maarufu kufanya hivyo, kwa sababu wakitaka kusaidiwa wanawaomba watu wa kawaida na sio watu maarufu wenzao, kwa pia watu wa kawaida wapo wengi kuliko watu maarufu” aliandika moja ya watu ambao ni wanamfuatilia kwenye ukurasa wake.

Msanii huyo kwa sasa hivi amekuwa akijiachia zaidi katika mitandao ya kijamii, akimuonesha mpenzi wake Miss Joan 'Mama Zuri'.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali