Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Nilitaka nitoe demo kwa RC hadi Mwenyekiti"- JPM

Jumatano , 24th Feb , 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli, amempongeza mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Aboubakar Kunenge, kwa hatua za haraka alizozichukua za kuanza kujenga shule ya msingi King'ongo ambayo majengo yake yalikuwa yamechakaa na wanafunzi kukaa chini.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli

Kauli hiyo ameitoa hii leo Februari 24, 2021, jijini Dar es Salaam, wakati akizindua barabara za juu za Ubungo, ambazo ameelekeza ziitwe barabara za juu za Kijazi, ikiwa ni hatua ya kumuenzi aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi, aliyefariki dunia hivi karibuni.

"Ninashukuru RC ulivyohamia kwenye ile shule lakini kwakweli ile shule ingekuwa mpaka leo haijajengwa nilitaka nitoe demo ningeanzia mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya, mkurugenzi, mpaka mwenyekiti wa kijiji sababu wananchi hawa waliotuchagua wanataka waone matokeo ya yale tuliyoyaahidi", amesema Rais Magufuli

Aidha Rais Dkt. Magufuli, ameongeza kuwa "Kwahiyo mkuu wa mkoa nakushukuru malaika walikugusa ukawahi haraka haraka, nikawa nakuangalia nikasema Kunenge oyee!, kwa sababu mkuu wako wa wilaya alikuwa kashaanza kulalamika kwamba hawa wanatumiwa"

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava