Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Njia nane kutoka Kimara hadi kibaha asilimia 88

Jumatano , 10th Aug , 2022

Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imesema ujenzi wa mradi wa barabara ya njia nane ya kutoka Kimara hadi Kibaha umefikia asilimia 88 huku ikiahidi kujenga barabara ya kasi itakayo kuwa ya kutoka kibaha hadi Morogoro pamoja na kutanua njia kutoka Kimara hadi Ubungo 

Akizungumza  leo wakati alipofanya ziara ya kukagua mradi wa ujenzi wa barabara ya njia nane kutoka Kimara hadi Kibaha Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhandisi Godfrey Kasekenya amesema serikali inaridhishwa na mwenendo wa ujenzi wa mradi huo huku ikiwa mbioni  kuanzisha mchakato wa ujenzi wa barabara ya haraka itakayo jengwa kwa ubiya na sekta binafsi  ambapo baada ya kukamilika watumiaji watatakiwa kulipia ili kuitumia.

Kuhusu upanuzi wa ujenzi wa barabara  za njia nane kutoka Kimara mwisho hadi Ubungo  Kasekenya amesema wana mpango wa kujenga barabara  hizo    ili kupunguza msongamano kutoka eneo la Kimara hadi ubungo

Kwa upande wake Mhandisi mkazi wa mradi  kutoka TANROADs Mwanaisha Rajabu amesema mradi huo unaendelea kwa kasi kubwa huku hatua za awali zikiwa zimekamilika ikisalia hatua za pili ikiwemo ujenzi  wa madaraja .uwekaji taa barabarani pa moja na ujenzi wa barabara za kutoka na kuzunguka kituo cha mabasi cha magufuli  licha ya kuwa changamoto imekuwa ni wananchi kutotumia vivuko  vya kuvukia maalum katika njia hizo nane.

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji