Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

PAC chini ya mwenyekiti mpya yaanza na SUMA JKT

Jumanne , 18th Oct , 2016

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imemchagua Mhe. Naghenjwa Kaboyoka Mbunge wa Same Mashariki (Chadema) kuwa Mwenyekiti wa Kamati hiyo.

Kamati ya PAC, katika kikao chake chini ya mwenyekiti mpya

Tangu kuundwa kwa Kamati hiyo ambayo kwa mujibu wa Kanuni za Bunge inatakiwa kuongozwa na Upinzani ilikuwa bado haijamchagua Mwenyekiti na hivyo ilikuwa chini ya Uongozi wa Makamu Mwenyekiti Mhe. Aeshi Hilaly (Mb).

Katika uchaguzi huo Mhe. Kaboyoka hakupigiwa kura badala yake alipendekezwa na Wajumbe wa Kamati hiyo ambapo wote waliridhia awe Mwenyekiti wao.

Kamati hiyo ilikutana katika kikao chake cha kwanza chini ya Mwenyekiti Mhe. Kaboyoka ambapo mara baada ya kufanya uchaguzi huo ilijadili Taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kuhusu Hoja za Ukaguzi kwa Mashirika yaliyoko chini ya SUMA JKT.

Wajumbe wa Kamati hiyo walisema hesabu za mashirika hayo hazijazingatia sheria na utayarishaji wa hesabu na kwamba matumizi yao yamezidi bajeti iliyoidhinishwa.

Kamati hiyo ilitoa ushauri kwa SUMA JKT kuhakikisha wanaajiri wahasibu wenye ujuzi badala ya kuajiri watu ambao hawana ujuzi wa kuandaa taarifa za fedha.

Kwa upande wake Mkuu wa Kikosi cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Brigedia Jenerali Michael Isamuhyo alikiri kuwepo kwa mapungufu hayo na kwamba kwa sasa Jeshi hilo limepeleka maombi Wizarani kuomba kutenganisha shughuli za SUMA na JKT.

Wakati huohuo , Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) jana ilipokea majumuisho ya shughuli za Kamati kwa kipindi cha kuanzia Agosti 15, 2016 hadi Septemba 2, 2016.

Aidha, Kamati ya Utawala na Serikali za Mitaa jana ilipokea maelezo kuhusu shughuli za Kamati katika kipindi cha Oktoba 17 haadi 30, 2016.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava