Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Penzi la Msodoki chali

Alhamisi , 22nd Feb , 2018

Msanii wa  Hip hop bongo Young Killer Msodoki amekiru kugombana na mpenzi wake Halimaty Msodoki 'Miss Hip Hop' kwa madai kwamba hivyo ni vitu ambavyo haviwezi kuzuilika hasa watu wanapokuwepo kwenye mahusiano.

Msodoki ambaye amedumu kwenye mahusiano na mpenzi wake huyo tangu alipoanza kujulikana kwenye game ya Bongo Fleva ambapo watu wengi walikuwa wakisubiri ndoa amesema kwamba kutengana kwao hakujasababishwa na mapenzi bali mambo mengine ya kawaida kabisa.

Aidha amekiri mbele ya Kamera za eNEWZ  kwamba kwa sasa mrembo 'Miss Hip Hop' amerudi Mwanza kwa mambo yake binafsi lakini pia jamii inapaswa kutambua kwamba maswala ya mahusiano huwa yana mambo mengi ikiwemo ugomvi.

Pamoja na kubanwa kuhusu mwanadada aliyeonekana nyumbani kwake, Msodoki amefunguka kwamba mashabiki zake wanapaswa  kuelewa na kuamini kile wanachokiona kwani hawezi kuelezea maswala mengi kwa kuwa hata yeye anajaribu katika maswala ya mahusiano yakifanikiwa sawa na endapo yakishindikana itakuwa ndio basi. 

Mbali na hayo Rapa huyo kutoka Mwanza amesema watu ambao wanasema na kutabiri kwamba Young  Killer hataweza kutengeneza tena  nyimbo kubwa kama Dear Gambe na alipofikia ndiyo mwisho wake na kusema kwamba watu wanaobet kwenye mziki wake ni sawa na kutema mate kulia na kufukia kushoto.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu