Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Picha ni ya karibuni, Lissu atazungumza" - Meya

Alhamisi , 4th Jun , 2020

Meya wa Ubungo Boniface Jacob amesema kuwa, huenda siku mbili zijazo aliyewahi kuwa Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu, ataweza kuzungumza na kueleza yuko wapi na anafanya nini.

Meya wa Ubungo Boniface Jacob, na kulia ni aliyewahi kuwa Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu.

Meya Jacob ameyabainisha hayo leo Juni 4, 2020, wakati akizungumza na EATV&EA Radio Digital, kufuatia picha aliyoiweka kwenye ukurasa wake wa Twitter siku za hivi karibuni, akiwa amepiga picha na Tundu Lissu na kuandika maneno ya karibu nyumbani.

"Ile picha ni ya siku za hivi karibuni, na mimi nilifanya vile kama kumkaribisha tu arejee nyumbani, lakini kusema yeye yuko wapi na anafanya nini, atazungumza yeye mwenyewe siku mbili zijazo hata usiwe na papara" amesema Meya Jacob.

Tundu Lissu alikuwa nchini Ubelgiji kwa ajili ya matibabu, baada ya kupigwa risasi na watu wasiojulikana Septemba 2017, karibu na makazi yake Jijini Dodoma, na alipelekwa nchini Kenya kwa ajili ya matibabu na hatimaye alisafirishwa hadi nchini Ubelgiji kwa ajili ya matibabu zaidi.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine