Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Picha za Amber Rutty zinaleta joto DSM" - Makonda

Jumamosi , 15th Dec , 2018

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amewataka wasanii kutumia mitandao ya Kijamii kuhamasisha masuala ya Utalii wa nchi ili waweze kuitangaza Tanzania kupitia wafuasi wao wa mitandao ya kijamii ambao wanapatikana nchi mbalimbali.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda (kulia), na Amber Rutty.

Akizungumza Jijini Dar es salaam, mbele ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, pamoja na Waziri Maliasili na Utalii Dkt Hamis Kigwangalla, Makonda amewataka wasanii wapewe nafasi ya kutangaza utalii huo.

Makonda amesema "niwaombe wananchi wa Dar es salaam tutumie fursa hii kutangaza utalii wetu, niwaombe wasanii wenye wafuasi mitandaoni watangaze utalii wetu hapa nchini ili dunia ifahamu kuliko kusambaza picha za Amber Rutty ambazo zinaleta joto kali na laana".

"Tunatamani Dar es salaam isiwe sehemu ya kupita bali iwe sehemu ya watu kukaa, kwa sababu tuna maeneo ya utalii, ikiwemo ghorofa la kwanza kujengwa Tanzania liko Dar es salaam."

"Nimuombe Waziri Kigwangala barabara ya kutoka Airport iwekwe mabango ya utalii, ili kutangaza nchi yetu na utajiri tuliokua nao," Ameongeza Makonda.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto