Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Pinda awataka wananchi wajitokeze kwa wingi Okt.25

Jumatatu , 12th Oct , 2015

Waziri mkuu Mh. Mizengo Pinda amewataka wananchi wajitokeze kwa wingi siku ya kupiga kura Oktoba 25, mwaka huu, na kwamba wasiwe na hofu yoyote kwa vile serikali imejipanga vyema katika suala zima la ulinzi, ili uchaguzi huo ufanyike kwa amani.

Waziri mkuu Mh. Mizengo Pinda

Mh. Pinda amesema hayo mjini Sumbawanga, wakati alipokuwa anaongea na wakazi wa mji huo, na kusema kuwa kuna maneno yanayotamkwa na wanasiasa katika kipindi hiki cha kampeni ambayo yanachangia kuwatia hofu wananchi hasa wanawake, wayapuuze kwa vile kutakuwa na ulinzi wa kutosha.

Kitu kilichokuwa ni kivutio kikubwa sana kwenye mkutano huo, ni pale mzee Crisant Mzindakaya alipotangaza rasmi kumsamehe aliyekuwa mbunge wa Sumbawanga mjini na ambaye anatetea nafasi yake Aeshi Hilal, kwa uadui uliodumu tangu 2010 na kumnadi kwa kumuombea kura.

Mapema katibu wa CCM, wa mkoa wa Rukwa Bi. Rachel Ndegeleke amewatahadharisha watu watakaofanya fujo kwenye mkutano huo kuwa watachukuliwa hatua kali, baada ya kuonekana dalili hizo za fujo kufuatia Chama cha Demokrasia na Maendeleo nacho kuwa na mkutano wa kampeni jirani na maeneo hayo.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali