Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Polepole atoa agizo kwa Kaya Masikini

Alhamisi , 22nd Feb , 2018

Katibu wa Itikadi na Uenezi Taifa CCM, Humphrey Polepole ameagiza wasimamizi wa Mpango wa kunusuru kaya masikini na zenye upungufu wa chakula TASAF mkoa wa Arusha kufanya tathmini na kuongeza ruzuku kaya zinazofanya maendeleo ili kuongeza uzalishaji-

wenye tija. 

Akiwa katika ziara ya kikazi ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo ya TASAF ambayo ni sehemu ya utekelezaji wa ilani ya CCM Polepole amesema, kuwa ni vyema kuwaongeza ruzuku kwa kaya zinazoonesha matokeo chanya katika uzalishaji ili kuweza kuwa chachu ya maendeleo katika jamii.

"Mpango wetu sisi ni kuwavusha watanzania kutoka hali waliyonayo sasa na kwenda katika hali nzuri zaidi ifikapo mwaka 2020 ndiyo maana tunalipendekeza hilo. Lakini niwapongeze watu wa Arusha kwani nimeona miradi mingi ambayo itawafanya mtoke kwenye utegemezi," Polepole

Akisoma taarifa ya utekelezaji wa miradi mbalimbli mkurugenzi wa jiji la arusha Athumani Kihamia amesema asilimia kubwa ya kaya maskini hizo tayari wamesha patiwa kadi kwa ajili ya matibabu (Tika) yenye uwezo wa kuhudumia kaya sita kwa kadi moja.

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu